Breaking News

Saturday 10 February 2018

Sanaa chipuka

Kwakua vipaji vingi vyaonekana kufa,   bloggers wa sanaa Afrika Mashariki wameamua kuvilea kwa kufanya interview na wasanii chipuka nakuzieka online.Kati ya wasanii walio bahatika na mpango huo huyu hapa Vicky.Vicky ni msanii chipuka wa nyimbo za injili na interview itakua hewani muda usio kua mrefu.Msanii ambaye anafanya mziki wake chini ya lebo za one touch records amefurahi sana.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates