Breaking News

Sunday 18 February 2018

Ujio Tofauti wampa Mashabiki chungu mzima

,Baada ya kuvamia game ya mziki kwa takribani miaka miwili hivi,Msanii kwajina rasmi Sam Mwayaya(Samwela Wa Yesu) Ameamu kufanya mziki wa "bongo gospel" Hii imemsababishia kujinyakulia mashabiki zaidi ya elfu mbili.Nyimbo yake mpya Nitalia inaonekana kumpa umaarufu usio na dosari.Tumemhoji naye na amefunguka kuhusu ujio wake mpya ,Nimeamua kufanya mziki huu ili kujenga msingi wa wasanii wa gospel hapa pwani.

Read more ...

Saturday 10 February 2018

Sanaa chipuka

Kwakua vipaji vingi vyaonekana kufa,   bloggers wa sanaa Afrika Mashariki wameamua kuvilea kwa kufanya interview na wasanii chipuka nakuzieka online.Kati ya wasanii walio bahatika na mpango huo huyu hapa Vicky.Vicky ni msanii chipuka wa nyimbo za injili na interview itakua hewani muda usio kua mrefu.Msanii ambaye anafanya mziki wake chini ya lebo za one touch records amefurahi sana.

Read more ...
Designed By Published.. Blogger Templates