Breaking News

Monday 15 January 2018

Prince of mélodies aachilia Misifa

Abdul au Dully melody ni Msanii alieingia kwenye game ya Usanii Kwa kishindo na kuwagaragaza wasanii walio tangulia.msanii huyu ametoa vibao kama vile:Mamuu,yagayaga,Kivumbi,sasambua na vinginevyo.kwasasa ametoa kibao kipya kwajina 'Misifa'.Misifa nikibao ambacho kimezua ati ati kwani kimetaarishwa tofauti sana. Tumeeza kuwasiliana naye na ameahidi kutisha zaidi Mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates