Monday, April 07, 2025

Breaking News

Monday, 15 January 2018

Prince of mélodies aachilia Misifa

Abdul au Dully melody ni Msanii alieingia kwenye game ya Usanii Kwa kishindo na kuwagaragaza wasanii walio tangulia.msanii huyu ametoa vibao kama vile:Mamuu,yagayaga,Kivumbi,sasambua na vinginevyo.kwasasa...
Read more ...

Mziki Wa Pwani unadoa

Sanaa ya kenya hasa mkoani Pwani, yaingia tanda belua baada ya wasanii wengi wanao peta kwenye stesheni za radioni, kutopata chochote kwenye mziki wao. Je wadhani nikipi wadhani kingefanyika ? Weka...
Read more ...

Sunday, 14 January 2018

Bk Arah ang'oa nanga tena

Baada ya kimya cha takribani miaka mitano,Bakari Munga au Bk Arah  kama tiara Wa vibao kama vile, sorry mchizi wangu alicho mshirikisha chikuzee na Mwaga jasho alicho fanya na Dazla kiduche. Ameamua...
Read more ...

Friday, 12 January 2018

Prof. Mafyonze ni nani ?

Samweli Wa yesu aka proffesor Mafyonze ni Msanii Wa kizazi kipya kutoka Pwani anayefanya mziki wake one Touch records. Katika studio hii anaendesha ratiba Akiwa na producer Mkali Generaley Takalli. Wasanii...
Read more ...

One Touch records yatetemesha

Studio ya one Touch records inafanya vyema sana Katika ulimwengu Wa sanaa ya mziki Wa kizazi kipya.  Mashabiki mtapata habari zote zinazochipuka kutoka Kwa vyombo vêtu vya habari. ...
Read more ...
Designed By Published.. Blogger Templates