Breaking News

Wednesday 5 October 2016

Chikuzee awachia ngoma mpya na Kevz Ally

Baada ya mda mchache bila kutoa ngoma mpya ,mkali wao zee la mavuvuzela(chikuzee) ameamua kufanya collabo na msanii chipukizi anaye kuja kwa kasi kevz Ally toka ghetto bitz chini ya usimamizi wa meneja mkubwa sasa..
Mashabiki wameweza kuulizia ngoma hiyo inatoka lini lakini bado kibao hicho kipo jikoni thunder sound recordz .
Wengi wana imani collabo hii itakuwa yanguvu nasi kama talanta pwani tuko chonjo kuwa fahamisha yatakayo jiri toka kwao hao wasaniii.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates