Tuesday, April 08, 2025

Breaking News

Thursday, 6 October 2016

Rapper Johnzy awachia ngoma mpya.

Mwanarepa chipukizi toka hapa mombasani Johnzy aliyewachapia vibao  kama 'I want more, Panda na Own cash, hivi sasa amewachilia kibao kipya kijiulikanacho kama 'Naitinga'. Ngoma hii ni ya nguvu...
Read more ...

Wednesday, 5 October 2016

Chikuzee awachia ngoma mpya na Kevz Ally

Baada ya mda mchache bila kutoa ngoma mpya ,mkali wao zee la mavuvuzela(chikuzee) ameamua kufanya collabo na msanii chipukizi anaye kuja kwa kasi kevz Ally toka ghetto bitz chini ya usimamizi wa meneja...
Read more ...

Pwani tv yawika

Wakazi wa pwani wajivunia stesheni ya pwani tv  kwa kuwapa habari na burudani murwa. Wasanii chipukizi wa pwani wanafurahia stesheni hii vile vile kwa kuweza kupewa  fursa ya kuonekana kwenye...
Read more ...

Tuesday, 4 October 2016

Dj Lyta afanya mambo

Dj Lyta azidi kunawiri katika safu ya sanaa nchini na hata barani Afrika. Anatarajiwa kuja hapa pwani baada ya show yake ya kericho. ...
Read more ...

Monday, 3 October 2016

Pata kumfahamu Gal dee

Mwana dada anaye fanya mziki wake nchini uingereza pata ngoma zake youtube ...
Read more ...

Kutana na produza Amadoo

Prodzer wanguvu aliye anza mziki ghetto bit hivi sasa ameza kupata fursa ya kwenda nairobi  nakufanya kazi na mkali wao link produzer. ...
Read more ...

Saturday, 1 October 2016

Meet the music Samorai aka VJ VAN

Meet the finest Dj Van aka the music Samorai who does his things uniquely. He likes mixxing dancehall music. Catch him on whispers media while he does his thin...
Read more ...
Designed By Published.. Blogger Templates